Avada Car Dealer News

Facebook, Instagram na WhatsApp ni nzuri – lakini hazitoshi kuipeleka biashara yako hatua ya juu.

Tovuti ni ofisi yako rasmi mtandaoni.
Mitandao ya kijamii ni kama kodi ya fremu – leo ipo, kesho kanuni zinabadilika.

Faida za kuwa na tovuti ukilinganisha na mitandao ya kijamii

  1. Biashara yako inaonekana muda wote (24/7)
    Tovuti inafanya kazi hata ukiwa umelala. Wateja wanakupata wakati wowote.
  2. Unamiliki tovuti yako – si mtu mwingine
    Mitandao ya kijamii inaweza kufunga akaunti yako bila taarifa.
    Tovuti ni mali yako kabisa.
  3. Inaongeza uaminifu kwa wateja
    Wateja wengi huamini zaidi biashara yenye tovuti rasmi kuliko ukurasa wa mitandao ya kijamii pekee.
  4. Inakusaidia kuonekana Google (SEO)
    Wateja wanapotafuta huduma zako Google, tovuti yako ndiyo inaonekana, si post ya Facebook.
  5. Rahisi kupokea wateja na mauzo
    Kupitia tovuti unaweza:
  • Kupokea mawasiliano
  • Kuuza bidhaa
  • Kuonyesha huduma zako kwa mpangilio mzuri

Glorious Web Design – Tunakutengenezea tovuti ya kisasa, rahisi kutumia na inayokuletea wateja.

Tupo Dodoma, Tanzania
Wasiliana nasi sasa: 0714 659007
Anza leo, jenga biashara yako kesho